Skip to content
Group 227

Ada ya mteja hai 

Ada ya mteja hai inatozwa na Wakandi kulingana na idadi ya wateja hai  kwa mwezi.

Wakandi Starter

Application rahisi ya kusimamia shughuli za kifedha kupitia simu janja.

TSh 300.00 kila mteja
kwa mwezi

Wakandi Standard

Mfumo kamili.

TSh 500.00 kila mteja
kwa mwezi

Inakuja hivi karibuni

Wakandi Premium

Toleo la premium linatoa uzoefu wa kipekee na customization ya ziada.

TSh 1000.00 kila mteja
kwa mwezi

Mteja hai ni mteja aliefanya walau muamala mmoja ndani ya mwezi husika. 

Service Fee

Service Fee inachajiwa kwenye miamala ya dirishani (makusanyo na matoleo) inayoshughulikiwa na keshia.

Wakandi Starter

Application rahisi ya kusimamia shughuli za kifedha kupitia simu janja.

TSh 100.00 kila mteja
kwa mwezi

Wakandi Standard

Mfumo kamili.

TSh 100.00 kila mteja
kwa mwezi

Inakuja hivi karibuni

Wakandi Premium

Toleo la premium linatoa uzoefu wa kipekee na customization ya ziada.

TSh 100.00 kila mteja
kwa mwezi

Ada inalipwa na taasisi kupitia Wakandi Business Account (WBA)

Ada inatumika kulipia gharama za risiti za miamala pamoja na ada za meseji 

Ada hii ni fixed na inatozwa kwenye kila muamala, bila kujali kiasi cha muamala.

Convenience fee

Convenience fee inatozwa kwenye miamala inayofanyika kupitia mitandao ya simu au benki.Ada ina viwango mbalimbali kwenye makusanyo na matoleo kulingana na jedwali lifuatalo.

Kima cha chini  Kima cha Juu  Ada
0 1 999 50
2 000 4 999 200
5 000 14 999 400
15 000 29 999 500
30 000 44 999 700
45 000 59 999 800
60 000 79 999 900
80 000 124 999 1 000
125 000 249 999 1 100
250 000 Max 1 200

 

Kima cha chini Kima cha Juu Ada
0 4 999 100
5 000 14 999 400
15 000 29 999 800
30 000 44 999 1 200
45 000 59 999 1 600
60 000 124 999 2 000
125 000 249 999 3 000
250 000 499 999 5 000
500 000 999 999 7 000
1 000 000 1 999 999 10 000
2 000 000 3 999 999 11 000
4 000 000 Max 12 000

 

Taasisi inalipa Convenience fee kwa niaba ya wanachama/wateja kupitia Wakandi Business Account (WBA)

Gharama zote tajwa hapo juu zina kodi na ziko kwenye sarafu ya Shillingi za kiTanzania.Tafadhali zingatia kwamba ada za mitandao ya simu ziko palepale kwenye miamala ya mitandao ya simu. Aidha, chaneli za malipo zinaweza kuwa na gharama nyingine na kodi tofauti zinaweza kutozwa.