Gharama Zetu
Gharama zetu zina uwazi na zimegawanyika katika sehemu mbili za malipo – ada ya mwanachama inayolipwa na chama cha ushirika, na pia ada kwa kila muamala ambayo inalipwa na mwanachama.
Ada ya Mwanachama Hai
Hutalipa chochote kwa wanachama ambao hawafanyi miamala yoyote - hivyo tunatoza tu ada kwa wanachama ambao wamefanya miamala na SACCOs ndani ya mwezi husika. Ada hii hulipwa na chama cha ushirika na kutozwa kutoka kwenye akaunti ya kuongeza salio.
Ada za Miamala
Ada ya moja kwa moja
Hii ada italipwa na mwanachama kwa kila muamala atakaofanya na SACCOS (Kupitia mtandao wa simu, benki au fedha taslimu).
Kiwango cha Chini | Kiwango cha Juu | Ada |
0 | 4999 | 50 |
5000 | 14999 | 100 |
15000 | 29999 | 200 |
30000 | 44999 | 300 |
45000 | 59999 | 400 |
60000 | 124999 | 500 |
125000 | 249999 | 800 |
250000 | 499999 | 1000 |
500000 | 500000+ | 1500 |
Ada Isiyo ya Moja kwa Moja
Hii ni ada ambayo SACCOS itakusanya kwa kila muamala utakaofanywa na mwanachama (kupitia mtandao wa simu, benki au fedha taslimu).
Kiwango cha Chini | Kiwango cha Juu | Ada |
0 | 4999 | 100 |
5000 | 14999 | 200 |
15000 | 29999 | 400 |
30000 | 44999 | 600 |
45000 | 59999 | 800 |
60000 | 124999 | 1000 |
125000 | 249999 | 1500 |
250000 | 499999 | 2000 |
500000 | 999999 | 3000 |
1000000 | 1999999 | 6000 |
2000000 | 2000000+ | 10000 |
Bei zote tajwa hapo juu zina kodi ya mapato na zipo katika TSH. Ikitokea muamala umefanywa kupitia mtandao wa simu, ada nyingine itatozwa na Mitandao ya Simu husika.